qu
answer
Nyumbani
Uliza!
Wataalam
Tafuta
Kiswahili
Taarifa
Ingia
qu
answer
Nyumbani
Wataalam
Uliza!
Taarifa
Ingia
Loading...
Pakia maswali mapya
Anonim
1 siku iliyopita
#elimu
#maarifa
Andika nukuu kuhusiana na kuigaiga kunavyo sababisha athari kwa watu kushindwa kutumia maarifa waliyo nayo.
Onyesha zaidi...
1
1
Anonim
1 siku iliyopita
#utamaduni
#dini
Andika khutuba kuhusiana na faida kumi za uchamungu kwa mujibu wa uisilamu.
Onyesha zaidi...
2
1
Anonim
1 siku iliyopita
#elimu
#mtaala
Eleza ni kwa namna Gani mtaala mficho unaweza kuchangia utekelezaji wa mtaala rasmi shuleni ??
Onyesha zaidi...
2
1
Tumsime Godfrey
1 siku iliyopita
#mafunzo
#elimu
Jadili njia mbalimbali zinazotumika kutekeleza mtaala rasmi chuoni au vyuoni ???
Onyesha zaidi...
2
1
Anonim
1 siku iliyopita
#elimu
Eleza matendo mbalimbali yanayofanyika katika mtaala usio rasmi???
Onyesha zaidi...
2
1
Anonim
1 siku iliyopita
#elimu
#mazingira
#mbinu-za-kufundishia-ujifunzaji
Elezea ni kwa nini kwenye mtaala usio rasmi mbinu za ufundishaji na ujifunzaji hubadilika kutokana na mazingira ???
Onyesha zaidi...
2
1
Anonim
1 siku iliyopita
#elimu
#mitihani
#uwezeshaji-wa-wanafunzi
Ni kwa namna Gani mtaala usio rasmi unaweza kutumika na Kisha kuendeleza vipawa vya mwanafunzi ???
Onyesha zaidi...
2
1
Anonim
1 siku iliyopita
#elimu
#utafiti-wa-elimu
#mifumo-ya-elimu
Soma majarida ya kitaaluma kupitia maktaba na Kisha elezea utekelezaji wa mtaala usio rasmi katika mifumo ya Elimu Duniani ??
Onyesha zaidi...
2
1
Anonim
1 siku iliyopita
#elimu
Taja sifa na mapungufu ya mtaala mficho ??
Onyesha zaidi...
2
1
Anonim
1 siku iliyopita
#dini
#maadili
Andika nukuu kuhusiana na matumizi mabaya ya Elimu yanavyo sababisha madhara katika jamii kwa mujibu wa uisilamu.
Onyesha zaidi...
2
1
Next page
×
Anonim
Ingia
Uliza!
Nyumbani
Wataalam
Lebo
Tafuta
Kuwa mmoja wa wataalam
Kuhusu Sisi
Maswali Yanayoulizwa Sana
Wasiliana Nasi
Masharti ya Matumizi
Sera ya Faragha
© 2024 - Quanswer
Chagua lugha
×
English
Magyar
Română
Español
Français
Português
Deutsch
Nederlands
Norsk